lipumba amvua ukatibu mkuu maalim seif

Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF leo ametangaza kumvua nafasi ya ukatibu mkuu aliyekuwa makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar na katibu mkuu wa CUF na nafasi take kuchukuliwa na mbunge wa kaliua Mh.Magdalena Sakaya

Tokeo la picha la lipumba maalim seif na magdalena sakaya

Akitangaza maamuzi hayo emesema maalim seif amevuliwa nafasi yake kutokana na utoro kazini

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

TAKWIMU - Epl ligi bora duniani ikifuatiwa na la liga

Nnape Nnauye fundi wa mpila alijisahau kucheza kwa maelezo ya kocha wake