UCHAMBUZI - kikosi cha mpila cha bara la afrika kwa kuangalia thamani za wachezaji katika kila idara
kupitia mtandao wa transfermarkt lionel messi ametajwa kama mchezaji ghali zaidi ulimwenguni kwa sasa akiwa na thamani ya euro million 120 akifuatiwa na cristiano ronaldo pamoja na neymar junior wenye thamani za million 100 euro kila mmoja
lakini kwa upande wa bara la afrika mchezaji ghali zaid ni pierre aubameyang mwenye thamani ya 65 million euro huku kidunia akiwa nafasi ya 12 na katika ligi ya ujerumani akiwa mchezaji wa pili nyuma ya roberto lewandowsk mwenye thamani ya 80 million euro ,
katika bara la afrika mchezaji wa pili ni saidio mane mwenye thamani ya euro 38 million hali inayoonyesha tofauti kubwa kati ya wa kwanza na wa pili
katika kupanga kikosi cha team ya bara la afrika kumekuwa na cha changamoto ya upungufu mkubwa katika nafasi ya magolikipa kwani magolikipa wengi wa afrika wana thamani na uwezo mdogo , wakati ulaya ina magolikipa watatu wenye thamani ya euro million 40 , afrika kuna golikipa mmoja tu mwenye thamani ya euro million 4
kifuatacho ni kikosi cha wachezaji kutoka afrika wanaoweza kuunda team ya afrika kwa kuangalia thamani ya mchezaji katika nafasi husika
- carlos -kameni ...............malaga euro 4
- sergie -aurier.......................PSG euro 15
- abdulahman -baba.......................Shalke 04 euro 17
- eric -bailly........................man u euro 25
- joel - matip......................liverpool euro 20
- victor - wanyama .............totenham euro 18
- riyad - rmahrez.................leicester city euro 30
- naby - keita.......................RB leipzig euro 23
- pierre - aubameyang........B .dortumund euro 65
- saidio - mane ...................liverpool euro 38
- mohamed - salah ....................Roma euro 30
substitute
- andrew onana - golkeeper
- mehdi benatia -central back
- nabil bentaleb -central midfielder
- ahmed musa - right winger
- islam sliman --secondary striker
tupe maoni yako na kama ikiwezekana tuwekee kikosi chako ukionacho kuwa bora
tembelea www.wabongowatz.blogspot.com kwa taarifa zaidi na u-like page na kuifuata
tembelea www.transfermarkt.com kwa kumbukumbu ya taarifa hii
Maoni
Chapisha Maoni