TAKWIMU - Epl ligi bora duniani ikifuatiwa na la liga
Kupitia mtandao wa transfermarkt ambao huwa unatoa taarifa za wachezaji , team ,ligi na michuano mbali mbali, nimekuletea taarifa takwimu zinazoonyesha thamani ya ligi kuu ya uingereza na ile ya uhispania,thamani ya vilabu viwili vya juu na viwili vinavyoshika mkia
Zifuatazo ni tarifa hizo kama zinavyoletwa kwenu na mimi mwandishi wenu wa wabongo
KIGEZO | EPL (EURO) | LALIGA(UERO) |
THAMANI YA LIGI NZIMA | 4.91 Billion | 3.62 Billion |
WASTANI WA THAMANI ZA WACHEZAJI | 9.54 million | 7.5 million |
MCHEZAJI GHALI KATIKA LIGI | 80 million | 120 million |
VILABU VYENYE THAMANI ZAID | ||
YA KWANZA | 525.25 million | 766.80 million |
YA PILI | 515.00 million | 753.50 million |
VILABU VYENYE THAMANI NDOGO | ||
YA KWANZA | 85.00 million | 37.00million |
YA PILI | 98.60 million | 43.10 million |
TOFAUTI KATI YA WA KWANZA NA WA MWISHO | 440.25million | 729.8 million |
Mchanganuo hapo juu unaonyesha laliga kuna team kubwa sana za real madrid na barcelona lakini baada ya hizo team nyingine ni ndogo sana na zisizoleta upinzani wa kutosha kwenye ligi
EPL kuna tem kubwa japo sio level za kina real madrid lakini hata team zinazofuata zinathamani kubwa
Team inayoburuza mkia EPL ina thamani zaid ya jumla ya vilabu viwili vinavyoburuza mkia uhispania
Tofauti kati ya team ya kwanza na ya mwisho ni kubwa mno uhispania
Kwa taarifa hizi na zaid tembelea wabongo https://wabongowatz.blogspot.com/
karibu tena katika blog hii kwak | |
Maoni
Chapisha Maoni